-
Maecenas mattis, tortor ut posuere aliquam
iam wisi quam lorem vestibulum nec nibh, sollicitudin volutpat at libero litora, non adipiscing. Nul...
-
Post with SoundCloud
iam wisi quam lorem vestibulum nec nibh, sollicitudin volutpat at libero litora, non adipiscing. Nul...
-
Consectetur adipisicing elit
iam wisi quam lorem vestibulum nec nibh, sollicitudin volutpat at libero litora, non adipiscing. Nul...
-
Post With Featured Image
iam 1989 wisi quam lorem vestibulum nec nibh, sollicitudin volutpat at libero litora, non adipiscing...
-
Elementum mauris aliquam ut
iam wisi quam lorem vestibulum nec nibh, sollicitudin volutpat at libero litora, non adipiscing. Nul...
Showing posts with label KITAIFA. Show all posts
UTANGULIZI
a) Masuala ya Jumla
Mheshimiwa Spika,
1. Naomba nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu mwenye wingi wa Rehema kwa kutupatia uzima na afya hadi kufikia siku ya leo. Tumekuwepo hapa kwa takriban miezi miwili ambapo tumeweza kupokea na kujadili Taarifa za Mapitio ya Utekelezaji wa Kazi za Serikali kwa mwaka 2013/2014 na Mwelekeo kwa mwaka 2014/2015 kwa Wizara mbalimbali na hatimaye kupitisha Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2014/2015.
2. Napenda kutumia nafasi hii ya awali kuwapongeza Waheshimiwa Wabunge wote kwa kazi nzuri ya kutukuka ambayo wameifanya kwa nidhamu na ufanisi mkubwa, hususan wakati wa Mjadala wa Bajeti ya Serikali na Mafungu ya Wizara za Kisekta. Kipekee niwashukuru Wajumbe wa Kamati ya Bajeti chini ya Uongozi mahiri wa Mheshimiwa Mtemi Andrew John Chenge, Mbunge wa Jimbo la Bariadi Magharibi kwa kazi yao nzuri ya kuchambua Bajeti ya Serikali na Sheria zinazoambatana na masuala ya Bajeti. Changamoto zilikuwa nyingi, lakini kwa pamoja tumekubaliana na kuafikiana. Kazi kubwa iliyoko mbele yetu ni kwenda kushirikiana na Wananchi katika utekelezaji wa Bajeti hii ili kuwaletea maendeleo.
Mheshimiwa Spika,
3. Katika kipindi hiki tukiwa hapa Bungeni, yapo matukio ya kusikitisha yaliyotokea ambapo baadhi ya Waheshimiwa Wabunge walipoteza Wapendwa wao. Aidha, yapo matukio ya Kitaifa yaliyosababisha kupoteza maisha ya Ndugu, Jamaa na Marafiki. Napenda kutumia nafasi hii kuwapa pole Waheshimiwa Wabunge na Watanzania wote waliofikwa na misiba na majanga mbalimbali, ikiwa ni pamoja na wote waliopotelewa na Ndugu, Jamaa na Marafiki
Read More »
MAZISHI
YA MWANAFUNZI WA CHUO KIKUU CHA RUCO MWAKA WA NNE SHERIA ALIECHOMWA
MOTO NA WANANCHI WAKIDHANIA YA KUWA NI JAMBAZI YANAFANYIKA LEO MOSHI
..INAUMA SANA KWA NDUGU JAMAA NA HATA WAZAZI AMBAO WALIKUWA WANAMTEGEMEA
KWANI TAYARI ALIKUWA MWAKA WA MWISHO HIVYO MATUNDA YAKE YALIKUWA
YANANGOJEWA LEO WANPOKEA MAITI YA MWANO TENAH AKIWA KACHOWA MOTO HAKUNA
YEYOTE AMBAE HILI JAMBO HALIJAMGUSA ANDIKA NENO R.I.P KUMUOMBEA
MAPUNZIKO MEMA KATIKA SAFARI HII YA MILELE YEYE AMETANGULIA SISI
TUNAMFUATA HAKIKA INAUMA......tayari TIMU YA INFO IS HOT IMESHATEGA
KAMERA ZAKE HUKO....
Read More »
Gari aina ya Toyota Coaster inayofanya safari zake kati ya Ubungo na Tegeta jijini Dar es Salaam imepata ajali mbaya leo mchana baada ya kugongana na gari lingine na kusababisha vifo vya watu wanaokadiriwa kuwa zaidi ya 18 katika eneo la Makongo Sekondari jijini Dar.
Inasikitisha Jamani ...RIP
By Pendo Lyimo
Read More »
Subscribe to:
Posts (Atom)